Friday, 27 January 2017

ASASI YA HIFADHI YA JAMII KUTOKA IFM (ISPA) YA FANYA DHIARA YA KIMASOMO KWENYE MMAMLAKA YA HIFADHI YA JAMII (SSRA) LEO JIJINI DAR ES SALAAM.



 Asasi ya Hifadhi ya jamii kutoka chuo cha Usimamizi wa Fedha Ifm,leo hii waitembelea mamlaka ya hifadhi ya jamii,ili kujifunza kwa vitendo jinsi mamlaka hiyo inavyo fanya shughuli zake za kuisimamia secta ya hifadhi ya jamii hapa nchini,wanafunzi hao ni ambao wanasoma fani ya uifadhi wa jamii ambayo inatolewa hapo chuoni kwao.


Makamu wa Rais wa Asasi ya Hifadhi ya jamii ndugu Carolyn Mmari akiongoza wanafunzi wenzake wakati wakujipatia chakula.

  




 Baadhi ya wanafunzi wakiwa katika picha ya pamoja wakiwa na furaha baada ya kufika kwenye ofisi za mamlaka ya hifadhi ya jamii leo hii jiji Dar es salaam.


Mkurungenzi wa sharia katika Mamlaka hiyo akiwakaribisha wanafunzi hao kwa niaba ya Mkurungenzi mkuu.


 
 


 
Mmoja ya wanafunzi pamoja na afisa wa mmalaka ya hifadhi ya jamii wa kifatilia kwa umakini semina ikitolewa na afisa wa mamlaka ya fidhai ya jamii.
 

 Rais wa Asasi ya Hifadhi ya jamii Bwana Sylvester Dionizy kutoka chuo cha usimamizi wa Fedha IFM,akitoa neno la shukrani kwa Mamlaka kupokea wito wao wakuja kujifunza hapo ofisi kwao.


 Afisa wa Mamlaka ya hifadhi ya jamii akishukuru ushiriki wawanafunzi kutoka chuo cha usimamizi wa fedha (IFM) na kutambua umuhimu wa watalam wa Hifadhi ya Jamii Katika Nchi yetu.
 
 

 Picha ya pamoja ya wanafunzi wa Asasi ya Hifadhi ya Jamii na maafisa wa mamlaka ya Hifadhi ya jamii.

3 comments:

  1. Hongereni sana ISPA I'm proud of you, Mungu awaongoze kwa kila hatua!!

    ReplyDelete
  2. Hongereni sana ISPA I'm proud of you, Mungu awaongoze kwa kila hatua!!

    ReplyDelete