Saturday, 26 September 2015

GLOBAL EDUCTION LINK (GEL) YAZIDI KUPATA MAFANIKIO YA KUSAFIRISHA WANANFUNZI WAPATAO 70 NCHINI CHINA.

    



  Kampuni ya Global Education Link (GEL) ambao ni wakala wa vyuo vya nje ya nchi waliweza kusafirisha wanafunzi wapatao 70 kwenda nchini China kwa ajili ya masoma. Akizungumza Mkurugeni wa GEL, Abdulmaliki Mollel alisema kuwa wanamshukru Mungu kwa kuendelea kuwafungulia milango ya kuendelea kupokea wanafunzi wanaopenda kusoma vyuo nje ya nchi. Pichani: inawaonyesha  wakiwa tayari katika mstari wa kukaguliwa ili waweze kuanza safari yao ya kwenda nchini China kimasomo.


 Mmoja ya wazazi akikagua nyaraka za mwanae kabla hajasafiri.


 Baadhi ya wanafunzi wanaokwenda kusoma vyuo vya nchini China wakiwa Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam kungojea kuondoka. Wanafunzi hao wanaondoka nchini chini ya usimamizi wa Kampuni ya Global Education Link (GEL) ambao ni wakala wa vyuo vya nje ya nchi.


Mzazi akimuaga mwanae kwa bashasha.

No comments:

Post a Comment