Sunday, 1 November 2015

TAARIFA YA UFAFANUZI JUU YA WAOMBAJI MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU


 Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawsiliano toka bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya juu (HESLB) Bw. Cosmas Mwaisobwa akitoa ufafanuzi kuwa Tunapenda kufafanua kuwa taarifa zinazosambazwa katika baadhi ya mitandao ya kijamii kuwa orodha ya majina ya waombaji wa Mikopo waliofanikiwa kwa mwaka wa masomo 2015/2016 imetoka sio za kweli. Kwa sasa, kazi ya uchambuzi wa maombi ya mikopo yaliyowasilishwa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu bado inaendelea. 
.
Kwa mawasalianao  wanapatikana kwa namba za hapo juu.

No comments:

Post a Comment