Mkuu wa chuo cha Usimamizi wa Fedha Prof.Godwin Mjema ( mwenye tisheti ya blue) akiwa na waandalizi wa bonanza la wanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha (IFM).
Rais wa wanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha (IFM) bwana Eliaza akitoa maelekezo kabla ya bonanza kuanza rasmi.
Mwalimu wa malezi kwa wanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha akitoa maelezo na jinsi ya kufata sheria katika bonanza hilo.
Mkuu wa chuo cha Usimamizi wa fedha akiwasalimu wanafunzi na kuwa shauri kufanya mazoezi kila wakati na kuwakaribisha wanafunzi wa mwaka wa kwanza chuoni hapo.
Mkuu wa chuo cha Usimamizi wa fedha Prof.Godwin Mjema akiweka mpira sawa kabla ya kuzindua bonanza rasmi.
Mkuu wa chuo cha usimamizi wa fedha Prof.Godwin Mjema akipiga shuti kuashiria bonanza limeanza rasmi.
Timu wa wafanzakazi wa chuo cha Usimamizi wa Fedha wakiwa katika picha ya pamoja kabla bonanza kuanza ramsi.
Timu ya wanafunzi wa chuo cha Usimamizi wa fedha wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya
bonanza kuanza.
Waziri wa michezo bwana Mkami akipeana mkono na mkuu wa chuo cha IFM wakati wakukagua vikosi vya wachezaji.
bonanza kuanza.
Waziri wa michezo bwana Mkami akipeana mkono na mkuu wa chuo cha IFM wakati wakukagua vikosi vya wachezaji.
Wakiwa katika kupeana ushauri kama ilivyo desturi kabla ya mpira kuanza.
Makamu wa rais wa selikali ya wanafunzi wa chuo wa usimamzi wa fedha akiwa uwanjani.
Mwalimu wa michezo bwana Mula Mula akipiga penati ya ushindi na kuweza kuwa washindi dhidi ya wanafunzi wa serikali ya wanafunzi.
Baadhi ya wanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha wakifuatilia michezo mbalimbali kwenye bonaza hilo.
Walimu nao awakuwa nyuma kwenye ufuatiliaji wa michezo mbali mbali katika bonanza hilo.
Timu za mpira wa kikapu zikipeana ushauri kabla ya mchezo huo kuanza.
Wanafunzi akijitaidi kufunga goli katika mchuano huo.
Wakina dada nao hawakuwa nyuma,wakiwa katika mazoezi ya mwanzo kabla kuanza kucheza.
Baadhi ya walimu wakitoka uwajani baada ya kumaliza papmabano na kuwa washindi dhidi ya selikali ya wanafunzi.
Maafisa wa mfuko wa Penshensi wa PSPF wakiwa katika banda lao.
Afisa uhusiano mwandamizi bwana Abdul Njaidi akimsajirisha Rais wa chuo cha usimamizi wa fedha katika mpango wa kuchangia kwa hiyali.
Maofisa wa mfuko wa pensheni wa PSPF wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa juu wa serikali ya wanafunzi baada ya kujiunga na mpango wa kuchangia kwa iyali.
No comments:
Post a Comment