Watoto wa shule ya awali ya Genesisi wapata mafunzo ya awali ya kuzima moto
Mkaguzi Msaidizi Idd Chanyika wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji akielekeza
watoto wa shule ya awali GENESIS jinsi ya kukabiliana na moto wa hatua ya
awali, mafunzo yaliyofanyika katika kituo cha Zimamoto na Uokoaji Ilala
jijini Dar es Salaam.
Mkaguzi Msaidizi Idd Chanyika wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kutoka Mkoa
wa Zimamoto Ilala akielekeza watoto kutoka shule ya awali ya GENESIS
waliotembelea kituoni hapo jinsi ya kutumia vazi la
kujikinga na sumu pamoja na bacteria hatari.
No comments:
Post a Comment