MO DEWJI FOUNDATION YATANUA MBAWA, YASAIDIA UBORESHAJI WA KITUO CHA FURAHINI MKOANI K'NJARO
Baadhi
ya vijana hao wakiwa darasani wakifurahia masomo wanayopatiwa ya
kujiandaa na elimu ya sekondari katika kituo hicho cha Furahini mkoani
Kilimanjaro.
Baadhi
ya vijana hao wakiwa darasani wakiendelea na masomo katika jengo la
kituo hicho cha Furahini ambacho kinatarajiwa kukabaratiwa na kwa msaada
wa Mo Dewji Foundation
Eneo la jengo hilo la kituo linavyoonekana kwa nje.
Ukame
uliitafuta Kisangara kwa muda mrefu umesababisha kasi kubwa ya umaskini.
Kutokana na hali hiyo watoto wameathirika zaidi kutokana na familia zao
kushindwa kuwapeleka shule binafsi na kuwaacha katika shule za umma
ambazo hazina ubora.
Ukarabati wa kituo hicho ukianza baada ya Mo Dewji Foundation kukipiga tafu.
Mratibu
wa Furahini Youth Learning Centre, Isiaka Msuya katika zoezi la kupakia
matofali kwa ajili ya ukarabati wa kituo hicho kwa msaada wa Mo Dewji
Foundation.
No comments:
Post a Comment