Sunday, 17 January 2016

PEPSI NA MAGIC FM ZA DHAMINI KIKAMILIRIFU ASASI YA HIFADHI YA JAMII YA IFM (ISPA) KWENYE MAANDAMANO YA AMANI NA BONANZA LA MICHEZO DHIDI YA UPINGAJI MAUWAJI NA UNYANYASAJI ZIDI YA WATU WENYE UALBINO

 
Wanafunzi wa Asasi ya Hifadhi ya Jamii wa IFM (ISPA) wakijianda kwa kuanza ramsi maandamano ya Amani ya kupinga mauwaji na unyanyasai ya watu wenye ualbino
 
 

 
 
 
 
 
 Wakiwa katika maandamano na mabango yenye ujumbe tofauti tofauti dhidi ya kupinga hukatili ya watu wenye ualbino.
 Mkuu wa kitivo cha Bima na Hifadhi ya jamii wa IFM Dr.Abdallah Saqware akiwa kwenye maandamano pamoja na wanafunzi wake.
 
 
 
Wananchi mbali mbali jiji dar es salaam wakitazama maandamano ya wanafunxi wa chuo cha usimamizi wa fedha.
 
 
 
 
 Jeshi la polisi nalo halikuwa nyuma katika swala la ulizi katika maandamano ya wanafunzi wa Asasi ya Hifadhi ya jamii (ISPA).
 
 
 Wageni ramsi wakifuatlia hutuba mbali mbali wakiongzwa na rais wa Asasi ya Hifadhi ya jamii (ISPA) Bw.Innocent Kembo aliyeshika shavu.
 
 
 
 
 
 
Bw.David alimarufu Ecrow akisoma taarifa ya habari.
 
 Rais wa Asasi ya Hifadhi ya Jaminii bw.Innocent Kembo hakizungumza na halaiki ya watu walio kuja kwenye bonanza hilo.
 
 
 
 Mwenyekiti wa Asasi ya Bima na Majanga katika chuo cha usimamizi wa fedha akizumza machache juu ya bonanza hilo. 
 
 
 
Waziri wa habari Nape Nnauye akipata maelekezo juu ya mafuta ya sun cream ambayo hutumika kuzuia mionzi ya jua kwenye ngozi za watu wenye ualbino.
 
 Waziri wa habari Nape Nnauye akiteta kidogo na Rais wa Asasi wa Hifadhi ya jamii bw.Innocent Kembo
 
 
 Washiri wamakundi mbali mbali walikuwepo ikiwemo pamoja na SYDS
 Picha ya pamoja ya timu ya Amani na Upendo kabla ya mpira kuanza kuonyesha kuwa watu wenye ualbino kuwa nao wanaweza kila kitu kama sisi ambao hatuna ualbino.
 kikosi cha timu ya Amani katika picha ya pamoja
 Kikosi cha timu ya Upendo kaitika picha ya Pamoja
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 Picha mbali mbali katika michezo tofauti tofauti katika bonanza hilo.
 
 Bwana Josephat Tona akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Asasi ya Hifadhi ya jamii.
 
 Rais wa Asasi ya Hifadhi ya jamii Bw.Innocent Kembo akiongea na Mkuu wa Idara ya Bima na Hifadhi ya jamii Dr.Abdallah Saqware kaitika Bonanza hilo.
 
 
 
 
 Picha mbali mbali za watu wakifuatilia Bonanza kwa umakini.
 
.
 
 
 
 

Bwana Josephat Toner akitoa neno la kushukuru kwa niaba ya watu wenye Ualibino katika bonanza hilo.

Saturday, 16 January 2016

WAHITIMU 67 WA MAFUNZO YASIYO RASMI WA CHUO CHA VETA WAPATA VYETI LEO JIJINI DAR ESALAAM.

WAHITIMU 67 wasio katika Mfumo Rasmi watunukiwa vyeti katika kuwarasimisha katika ujuzi waliopata  katika maeneo yao ya kazi.
 
Akizungumza katika mahafali hayo, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mafunzo na Ufundi Stadi (VETA),Geofrey Sabuni amesema kuwa wataendelea kutoa mafunzo hayo ili kuwatambua mafundi wa mitaani ambao wamekuwa hatambuliki kutokana na kukosa mafanzo katika taasisi zinazotambulika.
 
Amesema kuwa nia ya kuwafikia watu 5000 katika kurasimisha kazi wanazozifanya kutokana na mchango mkubwa wa taifa huku wakiwa hawatambuliki.
 
Sabuni amesema kuwa VETA itahakikisha inaendelea kutoa mafunzo kwa vijana katika ujuzi mbalimbali pamoja na wale ambao hawako katika mfumo rasmi kuwatambua.
 
Aidha amesema kuwa katika jitihada zote kuna changamoto hivyo kwa wahitimu lazima waendelee kuongeza ujunzi wa mafunzo ya muda mrefu  katika kuwa wabobezi huku wakiwa na vyeti vinavyoonyesha ujuzi.
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Veta Dar es Salaam,Violet Fumbo amesema katika mafunzo wanayotoa wanatambulika sehemu zote kutokana na mafunzo hayo kuingizwa katika mitaala.
 
Violet amesema katika ma
 
 Afisa mitihani wa chuo cha ufundi cha VETA kilichopo Temeke,Elishawake Lema akifungua sherehe za Mhafari kwa wanafunzi waliojiunga kozi ya muda mfupi ambayo Veta wameshirikiana na na shilika la kazi Duniani (ILO) kwa kutoa mafunzo hayo. mafunzo hayo ni Upishi, ufundi uwashi, ufundi wa magari na upambaji. 

 
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Chuo cha ufundi stadi cha Veta, Geofrey Sabuni akizungumza na wahitimu wa mafunzo ya muda mfupi katika chuo hicho leo jijini Dar es Salaam.
 
 
Mwakilishi wa Shirika la Kazi (ILO), Albert Okal akizungumza na wahitimu wa chuo cha mafunzo stadi ya ufundi cha Veta jinsi walivyo shirikiana na chuo hicho ili kuondoa okosefu wa ajira kwa baadhi ya vijana walioweza kufanikiwa kujiunga na kozi ya muda mfupi katika chuo hicho.

 
Kaimu Mkuu wa  Chuo cha ufundi stadi cha Veta, Violet Fumbo kulia akisoma lisala  mbele ya wahhitimu na mgeni rasmi katika mahafari ya muda mfupi ya chuo cha ufundi cha Veta leo jijini Dar es Salaam. waliokaa kutoka kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya mafunzo ya ufundi stadi (VETA), Geofrey Sabuni  Mwakilishi wa Shirika la Kazi (ILO), Albert Okal na Afisa mitihani wa chuo cha ufundi cha VETA kilichopo Temeke,Elishawake Lema.
 
 
Wahitimu wakisimsikiliza mgeni rasm katika mahafari hayo leo jijini Dar es Salaam.
 
 
Walimu waliofanikisha mafunzo kwa wanafunzi na wahitimu wa leo katika chuo hicho.
 
 
Baadhi ya wanafunzi wakiongalia matisheti yao yakiwa na nembo ya shirika la kazi duniani (ILO) leo katika mahafari ya mafunzo hayo.

 
Katika mahafali hayo wametunukiwa vyeti vya kufuzu masomo yao katika chuo cha mafunzo ya ufundi Stadi (VETA) leo jijini Dar es Salaam.
 
 
Viongozi wa chuo wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wahitimu leo jijini Dar es Salaam.

Saturday, 9 January 2016

BILIONI 18.77 ZIMETUMWA KWENYE AKAUNTI ZA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI HAPA NCHINI.

 
Waziri wa fedha na Mipango, Dk. Philip Mipango akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na Fedha zilizo pelekwa katika halmashauri zote hapa nchini kiasi cha shilingi bilioni 18.77  kwenye akaunti za shule za msingi na Sekondari kwaajili ya kutoa elimu bure kwa wanafuzi wa shule zote hapa nchini.
 
 
 Gavana wa Benki kuu ya Tanzania, Beno Nduru akifafanua jambo kwenye mkutano wa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo. Kulia Katibu Mkuu wa wizara ya Fedha na Mipango, Servacius Likwelile.

 
Kaimu kamishna mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA), Alfayo Kidata akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, kuhusiana na ukusanyaji wa mapato katika Malaka ya Mapato Tanzania kwa kila robo mwaka.
 
 
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa fedha na Mipango, Dk. Philip Mipango jijini Dar es Salaam leo.
Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.

KIASI cha shilingi bilioni 18.77 zimetumwa kwenye akaunti za shule za Msingi na Sekondari za halmashauri zote hapa nchini kwaajili ya wanafunzi kusoma bure.

Hayo yamesemwa na Waziri wa fedha na Mipango, Dk. Philip Mipango wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.

Pesa hizo zimegawanywa kwenye akaunti za shule za shule za Msingi na Sekondari katika halmashauri zote kiasi cha shilingi bilioni 15.7 na bilioni 3  kwenye akaunti vyombo vya usimamizi wa mitihani katika Halmashauri zote hapa nchini.

Dk.Mipango amewatahadharisha wakuu wa Mikoa, wakuu wa Wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri zote kutumia ipasavyo pesa hizo kwa kuwa zikitumika kwa matumizi mengine watalala nao mbele kwa kula jasho la wananchi.

Pia Waziri wa fedha na Mipango, Dk. Mipango amewaomba waalimu wakuu wa shule zote za Msingi na Sekondari katika halmashauri zote hapa nchini waweke wazi matumizi ya fedha hizo  katika mbao za matangazo kwa kila shule ili kila mzazi aweze kujua kiasi gani kimetumika.

Wednesday, 9 December 2015

ASASI YA (IFM SOCIAL PROTECTION ASSOCIATION) YA WANAFUNZI WA CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM) WAKISHIRIKIANA NA AMSON GROUP WAJUMUIKA NA WATANZANIA WENGINE KUSHEREREKEA SIKU YA UHURU KWA KUFANYA USAFI KATIKA HOSPITALI YA AMANA JIJINI DARE ES SALAAM.

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Saidi Meck Sadiki akiwa pamoja na viongozi wa ISPA na wa Amson wakifanya usafi katika hospitali ya Amana jijini Dar es salaam.

 Mkuu wa Idara ya Hifadhi ya jamii (aliye vaa kofia) Ms. Antimalia akifanya usafi pamoja na wanafunzi.






 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam akipokelewa na baadhi ya wafanyakazi na wanafunzi hapo Hospitalini.

 Akipokea maelekezo na changamoto mbali mbali kutoka kwa Mganga mkuu wa Hospitali ya Amana ( aliye vaa tisheti ya mistari).
 Vionngozi wa ISPA pamoja na Mkuu wa Kitivo cha Bima na hifadhi(wakushoto ndugu Dkt.Abdallah Saqware) ya jamii akipeana mkono na mgurugenzi mkuu wa Amson Group na anaefatia ni mkuu wa kitivo cha Hifadhi ya Jamii Ms. Antimalia Ladsilaus .
 Picha ya pamoja ya viongozi ISPA,walimu wa IFM pamoja na wakuregenzi wakuu wa Amson Group.
 Mkuu wa Kitivo cha Bima na Hifadhi ya Jamii Dkt.Abdallah Saqware akimzungumza na kushuruku kwa niaba ya wanafunzi na kuwapongeza kwa kujito na kujituma.
 Mkurungenzi Mkuu wa Amson Group akisikiliza kwa umanikini ancho kiongea mkuu wa kitivo cha bima na hifadhi ya jamii

 Rais wa ISPA Bwn.Innocent Kembo akizungumza na wandishi wa habari juu ya swala la usafi na kumshukuru Rais wa nchi Dkt.John Pombe Magufuli kwa kuanzimia kusherekea siku ya uhuru kwa kufanya usafi.
 Mkuu wa Mkoa wa dar es salaam Mhe. Saidi Meck Sadiki akizungumza na wandishi wa habari.
Picha ya pamoja ya wafanyakazi wa Amson group na wanafunzi wa IFM pamoja na Walimu wao.